Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

UN yaitaka ETHIOPIA kukubali wachunguzi wa kimataifa juu ya vifo vya watu 100

Kamishna wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, ZEID RAAD AL HUSSEIN ameitaka ETHIOPIA kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa                                                     
Kamishna wa haki za binadamu wa Umoja wa  Mataifa,  ZEID RAAD AL HUSSEIN ameitaka ETHIOPIA kuwaruhusu wachunguzi wa kimataifa kufanya uchunguzi kuhusiana na kuuawa kwa waandamanaji 100 katika majimbo ya OROMIA na AMHARA wiki iliyopita .
ZEID amesema madai ya matumizi ya silaha za moto wakati wa maandamano hayo ni lazima yafanyiwe  uchunguzi na kuongeza kuwa ofisi yake inafanya mazungumzo na serikali ya ETHIOPIA kufuatia vifo hivyo.
Aidha amesema ofisi yake haijaona jitihada zozote zikichukuliwa kufanya uchunguzi tangu maandamano hayo yalipoanza kufanyika kwenye majimbo hayo mwezi Januari mwaka huu.
     
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube