- Get link
- Other Apps
- Get link
- Other Apps
Ekari Tatu za shamba la mirungi zimeteketezwa kwa moto Wilayani KARAGWE Mkoani KAGERA huku mmiliki wa shamba hilo pamoja na mtu mwingine ambaye anadaiwa kuficha kete za bangi pamoja na miche ya mirungi katika duka moja la nguo wote wakifunguliwa mashtaka.
Kufuatoa tukio hilo Mkuu wa Wilaya ya KARAGWE, GODFREY MHELUKA ametoa wito kwa wakazi wa wilaya hiyo wenye taarifa kuhusu watu wanaojihusisha na biashara pamoja na matumizi ya dawa za kulevya kuendelea kutoa taarifa.
COMMENT AND SHARE................................!!!!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!
Comments
Post a Comment
Welcome.......
What are you thinking of....!!