Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Ozil Akubali Kandarasi Mpya Arsenal Lakini kwa Sharti Moja Kubwa, Amtaka Thierry Henri Afunge Mdomo Wake.:;

        
MESUT Ozil ameamua kutuliza mzuka Arsenal na kutamka kuwa atasaini kandarasi mpya ya kuendelea kuitumikia miamba hiyo ya Emirates kwa miaka mingi ijayo.

Ozil ambaye kwa sasa yuko nje ya dimba ameuambia mtandao wa Kicker wa nyumbani kwao Ujerumani kuwa yuko tayari kusaini kandarasi mpya ya kuendelea kuichezea Arsenal lakini kwa sharti la kuhakikishiwa kuwa kocha wake Arsene Wenger ataendelea kuinoa klabu hiyo.

Mara kadhaa Ozil ameshindwa kuficha hisia zake na kukiri kuwa aliamua kuhamia Arsenal kwa sababu ya ushawishi wa Wenger hivyo kubaki kwake Arsenal kutategemea kama kocha huyo Mfaransa atapewa kandarasi mpya.

Kauli hiyo ya Ozil imekuja kama ahueni kwa mabosi wa Arsenal ambao kwa miezi kadhaa sasa wamekuwa akipambana kumshawishi nyota huyo asaini kandarasi mpya kabla ile ya awali haijafika mwisho mwaka 2018.

Wakati huohuo Ozil amewataka watu mbalimbali pamoja na wachezaji wa zamani wa Arsenal akiwemo Thierry Henry kuacha kumuongelea vibaya kwani hawajui kile kinachoendelea kati yake na Arsenal.   



COMMENT AND SHARE..................!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube