- Get link
- Other Apps
- Get link
- Other Apps
Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa
amewachwa nje katika kikosi cha Chelsea dhidi ya Leicester baada ya
mgogoro na kocha kuhusu uzima wake.
Raia huyo wa Uhispania
hajashiriki mazoezi kwa siku tatu na hajasafiri na viongozi hao wa ligi
ili kushiriki mechi dhidi ya bingwa watetezi wa ligi ya Uingereza
Leicester.Habari hizo zinajiri huku kukiwa na ripoti kwamba anashirikishwa na uhamisho nchini China wenye thamani ya pauni milioni 30 kwa mwaka.
Costa mwenye umri wa miaka 28 amefunga mabao 14 na kusaidia kutengeza mabao 5 msimu huu.
Chelsea hatahivyo imekataa kutoa tamko lolote.
Inaeleweka kwamba mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich hataki kumwachilia katika kandarasi yake inayokamilika 2019, na hafurahii mpango wa kushinikizwa kufanya hivyo.
COMMENT AND SHARE..............!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!
Comments
Post a Comment
Welcome.......
What are you thinking of....!!