Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Uturuki:Kundi la IS linapaswa kutokomezwa kabisa

Uturuki:Kundi la IS linapaswa kutokomezwa kabisa:;           


Shambulizi hilo lililenga harusi iliyokuwa ikiendelea ambapo takribani watu hamsini waliuawa     

Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema kundi la Islamic state linatakiwa kuondolewa kabisa kutoka mikoa ya kaskazini mwa Syria.
Amri hiyo inakuja huku kukiwa na taarifa kwamba majeshi ya Uturuki yanajiandaa kushikilia mji wa mpakani wa Jarablus ambao upo mikononi mwa I-S .
''Tutapigana kuipinga Islamic State na taasisi nyingine za kigaidi mpaka mwisho. Tutaendelea kuunga mkono nchi zote zinazopambana na vikundi hivyo. Kama unavyojua wapiganaji wa upinzani wamefanikiwa kutekeleza mashambulizi kadhaa AL-Rai na mpakani kwetu.
Kwa hakika, mikoa iliyo mipakani lazima iwaondoe kabisa wapiganaji wa IS. Kwa kipindi hiki tutaendelea kutoa ushirikiano ili kuwaondoa wapiganaji wa IS kutoka katika maeneo''
Wanamgambo wa Islamic state wanashutumiwa kutelekeza shambulizi la bomu la kujitoa mhanga lililotokea mwishoni mwa juma lililopita katika mji wa Gaziantep uliopo kusini mwa Uturuki.           Makaburi yakiwa tiyari kwa maziko        
Shambulizi hilo lililenga harusi iliyokuwa ikiendelea ambapo takribani watu hamsini waliuawa ,wengi wao wakiwa ni watoto.
Uturuki imeshambuliwa mara kadhaa mwaka huu huku shambulizi la juma lililopita likitajwa kuwa baya zaidi.            Wafiwa wakiomboleza kwa uchungu       
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube