Wakazi wa Kata ya Chimala wilayani Mbarali mkoani Mbeya wameanzisha
utaratibu wa kukopeshana fedha za maendeleo bila riba ili kukabiliana na
changamoto ya masharti magumu ya upatikanaji wa mikopo kutoka kwenye
taasisi za fedha nchini.
Utaratibu huo unaoitwa NDILO huwawezesha wakazi hao kuchangishana fedha
kila mwezi na kumpa mmoja miongoni mwao ambaye anapaswa kuzirudisha
fedha hizo bila riba...
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!
Comments
Post a Comment
Welcome.......
What are you thinking of....!!