Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Wanakijiji NJOMBE waamua wakagua miradi ya maendeleo kutokana na kuchelewa:;

       Wanakijiji cha Lugenge halmashauri ya mji wa Njombe wametembelea na kukagua mradi wa mkubwa wa kufikisha maji kijijini hapo wenye thamani ya mabilioni ya shilingi ili kufahamu kwanini mradi huo haujakamilika                    
Wanakijiji cha Lugenge halmashauri ya mji wa Njombe wametembelea na kukagua mradi wa mkubwa wa kufikisha maji kijijini hapo wenye thamani ya mabilioni ya shilingi ili kufahamu kwanini mradi huo haujakamilika tangu ulipoanzishwa zaidi ya miaka sita sasa.

Katika ziara hiyo wanakijiji hao wameshtushwa na kiwango duni cha utekelezaji ambacho hawakukitarajia hasa kutokana na ahadi wanazopewa na viongozi wa ngazi mbalimbali kuwa mradi huo sasa utakamilika mapema mwaka huu.


Wanakijiji hawa  ambao ziara yao imefadhiliwa na wanakijiji wenzao wanasema hakuna muujiza wowote wa mradi huo kukamilika katika kipindi wanachoahidiwa kwakuwa kwa kiwango fulani kazi ya kuujenga imeharibika kutokana na  maji ya mvua kuongeza kina cha mitaro ya kupitisha mabomba ya maji kwenye baadhi ya maeneo.


COMMENT  AND SHARE.............!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube