Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Walimu 765 wa chekechea wapewa mafunzo kamilishi ya ufudishaji..:;

      
Walimu 765 wa elimu ya awali kutoka shule zote za Halmashauri za mkoa wa RUVUMA wanapatiwa mafunzo kamilishi baada ya Taasisi ya Elimu Tanzania kuboresha mtaala wa elimu ya mafunzo ya awali.

Mratibu wa Mafunzo hayo kutoka Taasisi hiyo, FREDRICK MKEBESI amesema mafunzo hayo yanatolewa ili kuwajengea uwezo walimu wa  elimu ya awali yatakayowawezesha wanafunzi kujua kusoma, kuandika na kuhesabu.

Afisa Elimu wa mkoa wa RUVUMA, GHARAMA KINDERU amesema ni muhimu walimu wakafuatilia vYema mafunzo hayo  ili waweze kuwaelimisha walimu wenzao waTAkaporudi shuleni.

Akifungua mafunzo hayo Katibu Tawala wa mkoa wa RUVUMA, HASSAN BENDEYEKO amesema mafunzo hayo yanatolewa nchi nzima ili kuwezesha watoto wote wa elimu ya awali kupata elimu stahiki.  

COMMENT AND SHARE.......................!!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube