Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Uganda Sasa Yakumbwa na Mafua ya Ndege..:;

Tokeo la picha la Uganda yakumbwa na mafua ya ndege        Serikali ya Uganda imetangaza mlipuko wa mafua ya ndege aina ya H7N9, ambapo mizoga kadhaa ya ndege imekutwa katika wilaya za katikati mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.        
Kulingana na Waziri wa Kilimo, Viwanda na Uvuvi, Christopher Kibazanga, vipimo vilivyofanywa nchini humo vimethibitisha mlipuko wa mafua ya ndege yenye virusi vinavyosambaa upesi na kusababisha vifo vingi zaidi kwa binadamu na wanyama.
Kibazanga amesema mnamo tarehe pili mwezi huu wa Januari, mamlaka wa wanyamapori waliripoti vifo vingi vya ndege.
Wizara hiyo bado haijatoa takwimu kamili za ndege walioathirika na wala kiwango cha mambukizo ya virusi hivyo vya H7N9.   



COMMENT AND SHARE...............!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube