Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Takriban watu 36 Wanajulikana Kufariki Kwenye Ajali ya Treni Huko India..:;

Maafisa wanaendela na shughuli ya uokozi        
Idadi ya waliofariki kutokana na ajali ya Treni kusini mashariki mwa India imefikia zaidi ya watu watu 30. Watu wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa baada ya Treni hiyo kuacha reli na
kubingiria ilipokuwa safarini kati ya Jagdalpur na Bhubaneswar katika jimbo la Andra Pradesh usiku wa Jumamosi.Maafisa wa uokozi wamesema watu wengi wangali wamekwama ndani
ya mabehewa ya Treni hiyo na wanahofia idadi ya waliofariki huenda ikaongezeka. Kilichosababisha ajali hiyo bado haijabainika.
Ajali ya Treni hutokea mara kwa mara nchini India kutokana na miundo mbinu duni na kuchakaa kwa reli.
Mwezi Novemba mwaka jana zaidi ya watu 140 walifariki kutokana na ajali nsawa na hii kaskazini mwa jimbo la Uttar Pradesh
Msemaji wa kitaifa wa uchukuzi wa reli Anil Saxena amesema maafisa wa uokozi wanaendeleza juhudi za kuwafikia manusura wa ajali hiyo. 



COMMENT AND SHARE...............!!!!!!1
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube