Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Spika wa Bunge Mh. NDUGAI Ahimiza Kuharakisha Kuhamia DODOMA.;;

         
Spika wa Bunge JOB NDUGAI ameishauri serikali, mashirika na idara mbalimbali kuharakisha utaratibu wa kuhamia mkoani DODOMA.

Akizungumza katika mahojiano maalum na TBC mjini DODOMA, NDUGAI amesema kwa kufanya hivyo watakuwa wametekeleza azma ya serikali ya kuhamia makao makuu pamoja na kuongeza kasi ya ukuaji mkoa huo na taifa kwa ujumla.

Aidha NDUGAI mkutano wa Sita wa Bunge la KUMI na MOJA wa bunge unaanza kesho pamoja na mambo mengine wabunge wateule Profesa PALAMAGAMBA KABUDI na ABDALLAH BULEMBO MAJURA wataapishwa.

Spika pia amezungumzia shughuli mbalimbali zitakazofanyika wakati wa vikao hivyo vya bunge,

Waziri mkuu KASSIM MAJALIWA tayari ameshawasili mkoani DODOMA kwa ajili ya kuhudhuria vikao hivyo vya bunge.       





COMMENT AND SHARE..........................!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube