Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Real Betis Yatoka sare ya bao 1-1 na Barcelona..:;

La Liga haina teknolojia ya goli                
Bao la Luis Suarez dakika ya mwisho liliokoa jahazi la Barcelona na kusababisha kutoka sare ya bao moja na Real Betis.
Real Betis ilitawala mechi na mchango wao Dani Ceballos na Ruben Castro ukazaa matunda wakati Alex Alegria alipoutumbukiza mpira kwenye wavu.
Awali bao na Barcelona lilikataliwa kutokana kutokuwepo kwa teknolojia ya kutambua bao likivuka mstari wa goli kwenye michuano ya La Liga.
Hata hivyo Suarez alitumia fursa ya kipekee baada ya kupata pasi safi kutoka kwa Lionel Messi dakika ya mwisho na kusawazisha .
Barcelona wako pointi moja nyuma ya Real Madrid ambao wana mechi mbili za kucheza ikiwemo ya nyumbani dhidi ya Real Sociedal siku ya Jumapili.    





COMMENT AND SHARE........................!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube