Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Rais Magufuli Awataka Wananchi Kufanya Kazi kwa Bidii..:;

        
Rais John Magufuli ametoa wito kwa wananchi kupuuza baadhi ya viongozi wa kisiasa wanaotoa taarifa kuwa nchi inakabiliwa na tatizo la njaa na badala yake wajikite kufanya kazi kwa bidii ili kuleta maendeo ya taifa.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara mjini Bariadi mkoani Simiyu Rais Magufuli amesema taarifa hizo ni uzushi usiotakia mema nchi kwani akiwa ni Rais wa Tanzania ndiye mwenye mamlaka ya kutoa taarifa za njaa kwa mujibu wa sheria taratibu za nchi.

Rais Magufuli ambaye yuko ziarani mkoani Simiyu pamoja na mambo mengine amezindua mradi wa ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu nwa kilometa 71.2 kutoka Lamadi hadi Bariadi huku barabara hiyo ikitajwa kuwa na faida lukuki.     


COMMENT AND SHARE...........!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube