Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Pambano la Chris Brown na Soulja Boy Kufanyika Huko Dubai..:;

          Drama ya pambano la Chris Brown na Soulja Boy inazidi kushika kasi. Imedaiwa kuwa pambano la ngumi la wawili hao lipigwa katika ulingo huko Dubai.

Chanzo kimoja kimeuambia mtandao wa TMZ, wawili hao wamekubali kupigana kwenye pambano hilo ila wanachotaka ni kupata fedha zaidi kupitia kwa watu ambao watataka kuangalia pambano hilo [Pay-Per-View].

Awali pambano hilo lilipangwa kufanyika mjini Las Vegas lakini kutokana na sheria zilizopo katika mji huo kutokana na mapambano kama hayo ndio imesababisha kubadilishwa kwa ratiba hiyo. Hata hivyo imedaiwa kuwa pambano hilo litakuwa ni kwa ajili ya kujitolea na fedha zitakazopatikana zitatolewa kama msaada.    

PATA APP YAKO HAPA(GET YOUR APP HERE) 
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube