Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Mvua Yaharibu Nyumba Zaidi ya 200 Huko KAHAMA..:;

       
Zaidi ya nyumba MIA MBILI zimeharibiwa Wilayani KAHAMA Mkoani SHINYANGA kufuatia mvua kubwa iliyonyesha wilayani humo ambayo na kusababisha wakazi wake kukosa mahali pa kuishi.

Akizungumza mara baada ya kutembelea baadhi ya vijiji vilivyoathiriwa na mvua hizo Mkuu wa Wilaya ya KAHAMA, FADHIL NKULU amesema tayari uongozi wa wilaya hiyo umeanza kufanya tathmini ili kubaini hasara iliyojitokeza.


Mvua hizo pia zimesababisha madhara pia katika Zahanati ya Kijiji cha MWANKIMA katika Halmshauri ya MSALALA kwa kuezua paa pamoja na kubomoa sehemu nyingine.    



COMMENT AND SHARE.........................!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube