Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Malkia Elizabeth akosa ibada ya mwaka mpya:;

Malkia wa Uingereza augua homa kali        Malkia wa Uingereza augua homa kali
Malkia wa Uingereza kwa mara nyengine amekosa kuhudhuria ibada ya kuadhimisha mwaka mpya katika kanisa la Sandringham kutokana na homa makali.
Malikia Elizabeth pia alikosa ibada ya siku kuu ya Krismasi nyumbani kwake huko Norfolk na hajaonekana hadharani kwa siku 12 sasa.
Msemaji wa Kasri la Buckingham amesema kuwa malkia anaendelea kupata nafuu.
Malkia wa Uingereza akosa ibada ya Krismasi
Yeye na Duke wa Edinburgh walichelewa kwa likizo yao ya Krismasi kwa siku moja mnamo Disemba 22, na kusafiri kwa kutumia ndege aina ya helikopta badala ya treni kutokana na homa.
Mwanamfalme Phillip amepona.
Binti Mfalme Anne aliulizwa vile mamake alivyokuwa akiendelea alipowasili katika kanisa ambapo alijibu vyema.

COMMENT AND SHARE..........................!!!!!!!!!!! 
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube