Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

BAN KI MOON aaga rasmi:;

       Katibu mkuu wa NNE wa umoja wa mataifa BAN KI MOON ameanga rasmi wafanyakazi wa umoja huo baada ya kuhudumu kwa miaka kumi katika awamu mbili za miaka mitano mitano.       
Katibu mkuu wa NNE wa umoja wa mataifa BAN KI MOON ameanga rasmi wafanyakazi wa umoja huo baada ya kuhudumu kwa miaka kumi katika awamu mbili za miaka mitano mitano.

BAN amesema yeye  hatokuwa tena Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa lakini atakuwa Balozi mwema na kwamba ilikuwa ni fahari kwake kuongoza shirika ambalo limejitahidi kupunguza migogoro ya kimataifa na kukomesha mateso lengo alilotimiza kwa kushirikiana na wenzake.

BAN ambaye ni raia wa KOREA KUSINI alichaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa mwaka 2006 na kuanza rasmi kazi tarehe Mosi Januari mwaka 2007, jukumu ambalo amemaliza  leo  tarehe 31Desemba 2016.

Kuanzia kesho Jumapili waziri mkuu wa azamani wa URENO, ANTONIO GUTERRES, mwenye umri wa miaka 67, atachukuwa wadhifa wa katibu mkuu wa umoja huo. GUTERRES ndiye kiongozi wa kwanza wa zamani wa serikali, kuongoza Umoja wa Mataifa.


COMMENT AND SHARE...................!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube