Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

AUSTRALIAN OPEN Kuanza kutimua Vumbi Hii Leo(16.1.2017)..:;

      
Mashindano makubwa ya Tennis yaani Gland Slam ya AUSTRALIAN OPEN yanaanza kutimua vumbi hapo leo Jumatatu kwenye mjii wa MELBOURNE nchini AUSTRALIA.

Katika siku hiyo ya kwanza ya mashindano hayo itashuhudia mcheza  Tennis namba moja kwa ubora kwa upande wanaume SIR ANDY MURRAY akishuka dimbani katika harakati zake za kuwania taji la Gland slam ya kwanza kwa mwaka huu, siku ambayo pia nyota ROGER FEDERER na STAN WAWRINKA nao watashuka dimbani.

Bingwa mtetezi na mchezaji namba mbili kwa ubora kwa wanaume NOVAK DJOKOVIC, yeye atashuka dimba kesho jumanne kucheza na FERNANDO VERDASCO wa HISPANIA na  STAN WAWRINKA atacheza na MARTIN KLIZAN wa SLOVAKIA kesho jumatatu.

Kwa upande wa wanawake bingwa mtetezi ANGELIQUE KERBER wa Ujerumani atacheza  LESIA TSURENKO na SERENA WILLIAMS yeye ataanza harakati zake za kuwania taji la saba la mashindano hayo ya AUSTRALIA OPEN kwa kucheza na  BELINDA BENCIC wa USWISI.   



COMMENT AND SHARE..................!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube