Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Tour nyingine ya Diamond na WCB Team kwenye mikoa 10 Tanzania:;

Tokeo la picha la wasafi      
Tumezoea kuona mastaa wa muziki kutoka nje ya Tanzania wakifanya ziara za kimuziki kuzunguka sehemu nyingi kwenye nchi zao au nje, sasa tarajia kukutana na Crew ya mastaa wa muziki wa BongoFlava Wasafi Classic Baby “WCB” ikiongozwa na Diamond Platnumz kwenye mkoa wako kuanzia 2017.
Kupitia Twitter ya meneja wa Diamond Platnumz, Jorgé Mendez amepost taarifa ya ujio wa ziara ya kimuziki ya kundi hilo ambayo itaanza rasmi 2017 huku akisema kabla hajatangaza mikoa ambayo tour itakwenda, wakazi wa Dar es salaam wajiandae tena kwa party nyingine siku ya Valentines February 14, 2017.
 wcb                 
COMMENT AND SHARE.....!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube