Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Taasisi ya GIRL GUIDE imeiomba imeiomba serikali kukagua maeneo ya kufanyia biashara ya kuuza vileo.:;

              Taasisi moja isiyo ya kiserikali ya GIRL GUIDE, imeiomba serikali kukagua maeneo ya kufanyia biashara ya kuuza vileo katika maeneo ya makaazi ya watu kabla ya kutoa lesini za biashara hiyo ili kuthibiti unywaji wa vileo kwa watoto.                            
Taasisi moja isiyo ya kiserikali ya GIRL GUIDE,   imeiomba serikali kukagua maeneo ya kufanyia biashara ya kuuza vileo katika maeneo ya makaazi ya watu kabla ya kutoa lesini za biashara hiyo ili kuthibiti unywaji wa vileo kwa watoto.

Akizungumza kwenye mdahalo uliowahusisha wanafunzi kutoka shule mbalimbali jijini DAR ES SALAAM, Katibu wa shirika hilo GRACE SHABA amesema utoaji wa leseni bila ukaguzi unasababisha biashara ya uuzaji wa vileo  kufanyika katika mazingira hatarishi kwa watoto kujihusisha na matumizi ya vileo na kusababisha madhara mbalimbali.

Kwa upande wake Afisa Elimu Wilaya ya KINONDONI, MARIETHA KAYOMBO amewataka wazazi kushirikiana na walimu katika kusimamia makuzi ya mtoto ili kumlinda na mazingira hatarishi ikiwemo uvutaji wa madawa ya kulevya na unywaji wa vileo.

Nao  wanafunzi walioshiriki mdahalo huo  wametoa wito kwa wanafunzi wenzao kusoma kwa bidii ili kujiepusha na mazingira hatarishi ikiwemo ya matumizi ya vileo.








COMMENT AND SHARE..................................!!!!!!!!!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube