Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Netanyahu aipinga hotuba ya Kerry kuhusu makaazi;;

Image result for Picha ya waziri mkuu wa israel akihutubia   
Waziri mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, ameshutumu hotuba ya waziri wa mambo ya nje wa Marekani , John Kerry, akidai inaikosoa Israel kimaonevu.
Netanyahu anasema Bw Kerry amekuwa akikosoa saanaa mpango wa Israel wa kupanua maakazi yao katika ardhi ya Palestinian lakini hakosoi vya kutosha uchochezi unaofanywa na Wapalestina.
John Kerry ameutetea uamuzi wa nchi yake wa kuliwezesha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuupitisha uamuzi wa wiki iliyopita, kutangaza makazi ya Wayahudi katika ardhi ya Wapalestina kuwa ni kitendo kinachokiuka sheria za kimataifa.

  Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry
 Kerry amesema hatua hiyo ina nia ya kulinda uamuzi wa kuwepo kwa mataifa mawili ili kuzuia hatari ambayo ingeweza kutokea.

COMENT AND SHARE ..............!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube