Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Ndege iliyotekwa nyara nchini Libya yatua Malta:;

Ndege hiyo ilikuwa safarini ndani mwa Libya
 Ndege hiyo ilikuwa safarini ndani mwa Libya 

Ndege moja ya Libya iliyoripotiwa kutekwa nyara ikiwa kwenye safari ya ndani mwa nchi imetua nchini Malta.
Ndege hiyo aina ya Airbus A320 ya shirika la ndege la serikali ya Libya, Afriqiyah, ilikuwa na abiria 118 wakati ilitekwa.
Watekaji nyara wawili waliripotiwa kutishia kuilipua ndege hiyo.
Ndege hiyo ilikuwa safarini kutoka mji wa Sebha kusini magharibi mwa Libya ikielekea mji mkuu Tripoli kabla ya kuelekezwa nchini Malta, kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters.
Karibu watu wote waliokuwa ndani ya ndege wanaripotiwa kuondoka.
Matakwa ya watu wawili waliokuwa na grunedi walioiteka nyara ndege hiyo haijulikani.
Meya wa mji wa Sebha nchini Libya ambapo ndege hiyo ilikuwa ikitokea anasema kuwa watekaji nyara hao wanatafuta hifadhi ya kisiasa.                       
Vikosi maalum vya ulinzi vilionekana uwanjani
 Vikosi maalum vya ulinzi vilionekana uwanjani 


Vikosi maalum vya ulinzi vilionekana uwanjani         Vikosi maalum vya ulinzi vilionekana uwanjani 

 Watekaji nyara wawili walitishia kuilipua ndege hiyo         Watekaji nyara wawili walitishia kuilipua ndege hiyo 






COMMENT AND SHARE..............................!!!!!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube