Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Mshukiwa wa shambulizi la Berlin auawa Italia:;

Polisi wa Ujerumani wametoa picha za Anis Amri

Mtu aliyeendesha shambulizi kwenyr soko mjini Berlin Anis Amri, ameuawa kwa kupigwa risasi na polisi mjini Milan nchini Italia.
Mtu huyo alikuwa amewafyatulia polisi risasi walipomaka awaonyeshe kitambulisho chake walipokuwa wakipiga doria eneola Sesto San Giovani. mapema siku ya Ijumaa.
Polisi mmoja aliuawa wakati wa ufyatuaji huo wa risasi,

Ujerumani imekuwa kwenye tahadhari kubwa tangu lifanyike shambulizi lililowaua watu 49.
Wakati huo huo polisi wamewakamata watu wawili katika mji wa Oberhausen baada ya kushukiwa kupanga mashambulizi.
Alama za vidole za mtu aliyeuawa vinafanana na alama za mshukiwa raia wa Tunisia ambaye aliendesha shambulizi la bomu la lori mjini Berlin siku ya Jumatatu na kuwaua watu 12.






COMMENT AND SHARE......................!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube