Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Kauli ya Neymar ukimuuliza kuhusu Ballon d’Or:;

Tokeo la picha la naymer                   
Staa wa soka wa kimataifa wa Brazil anayeichezea timu ya FC Barcelona ya Hispania Neymar ni moja kati ya majina ya wachezaji wanaotabiriwa kuja kushinda tuzo ya mchezaji bora wa dunia Ballon d’Or kwa miaka ya baadae.
Kama ulikuwa ni mmoja kati ya watu wanaofikiria kuwa Neymar anaiwazia sana na kufikiria kuhusu tuzo hiyo, ameamua kuweka wazi msimamo wake na anachofikiria kuhusiana na Ballon d’Or thelocal.es
“Kama nisiposhinda Ballon d’Or ni sawa tu mimi sichezi mpira ili nishinde Ballon d’Or, nacheza mpira ili nifurahi kwa sababu ni mchezo ninaoupenda, kiukweli ni moja kati ya malengo yangu kushinda tuzo hiyo lakini sitokufa ikitokea nimeikosa”


COMMENT AND SHARE.....!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube