Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

COMFIRMED: Mtanzania Farid Musa anaenda kucheza soka Hispania, katumiwa tiketi:;

Tokeo la picha la mchezaji wa tanzania fred musa
Mchezaji wa Azam FC ambaye amekuwa akiripotiwa kwa zaidi ya miezi kadhaa kuwa ataenda kujiunga katika timu ya Tenerife ya Hispania inayoshiriki Ligi daraja la pili Farid Musa huku akiwa amekwama Tanzania kwa madai ya vibali, leo December 27 2016 imetoka good news kuhusu dili hilo.



 Azam FC kupitia kwa mkuu wao wa idara ya habari na mawasiliano Jafar Iddi amethibitisha kuwa timu ya Tenerife ya Hispania imekamilisha taratibu za tiketi na tayari imetuma tiketi ya ndege ambapo inaonesha kuwa Farid ataondoka kesho December 28.
 screen-shot-2016-12-27-at-4-58-34-pm   
                      Tiketi ya ndege ya Farid Musa

 Farid ataondoka Dar es Salaam kesho December 28 saa 23:00 akipitia Amsterdam, Barcelona na baada ya hapo ndio ataelekea Tenerife moja kwa moja, Farid alikwenda Hispania April 22 2016 kufanya majaribio na kufuzu ila alikwama kwa kuchelewa kupata kibali cha kazi.

COMMENT AND SHARE........!!!!!!
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube