Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

YANGA yasema haijakata Tamaa

Benchi la ufundi la wawakilishi pekee wa TANZANIA kwenye michuano ya KIMATAIFA timu ya YANGA imesema bado haijakata tamaa kuhusu kufuzu kuingia hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho barani AFRICA                           
Kocha msaidizi wa timu hiyo JUMA MWAMBUSI amesema bado wananafasi hivyo hawezi kukata tamaa wakati vitu inaendelea..
YANGA inaburuza mkia kwenye kundi lao la A wakiwa na pointi moja tu baada ya kupata sare moja na hawajashinda mchezo hata mmoja na ili kusonga mbele itategemeana na matokeo ya michezo mingine.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube