Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Wakulima wa korosho LIWALE washauriwa kufungua akaunti za benki

Wakulima wa korosho LIWALE washauriwa kufungua akaunti za benki:;                

Wakulima wa zao la korosho wilayani LIWALE mkoani LINDI wametakiwa kufungua akaunti kwa ajili ya kupitishia malipo ya fedha za mauzo ya korosho                                                                                    
Mwenyekiti wa chama cha ushirika cha msingi Umoja, HASSANI MPAKO amesema utaratibu huo uliyotolewa na serikali ni hatua ya kudhibiti wizi wa fedha za wakulima unaofanywa na majambazi na baadhi ya watendaji wa vyama vya ushirika wasiokuwa waaminifu kuwaibia wakulima.
MPAKO amesema utaratibu wa kufungua akaunti benki na kujiunga na Vyama vya akiba na mikopo Saccos kwa ajili ya kupitishiwa malipo ya fedha zao  umekuja baada ya wakulima kulalamika kuwa wanakosa malipo stahiki kutokana na wizi unaofanywa na majambazi kupora fedha za wakulima .
Baadhi ya wakulima wa korosho  wilayani LiWALE wameipongeza serikali kwa hatua hiyo itakayomsaidia mkulima kupata malipo yake kwa uhakika.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube