Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Samsung :kiwanda chetu hakina madhara ya kikemikali

Samsung imesema kufichua taarifa kama hizo ni kutoa siri za kibiashara.              
Kampuni ya kielektroniki ya Samsung ya Korea Kusini, imekunusha taarifa zilizotolewa na familia ambazo zinataka fidia ya madhara ya viwanda.
Kundi la wafanyakazi limesema watu 76 wamefariki kutokana na kemikali za kiwanda ambacho kinatengeneza bidhaa za samsung.                 Mamlaka inataka kujua aina ya kemikali inayotumika         
Baadhi ya kesi zilimalizika lakini,lakini nyingine zinachelewa kutokana na mamlaka Kutaka kujua ni kemikali gani zimesababisha ugonjwa na vifo.
Samsung imesema kufichua taarifa kama hizo ni kutoa siri za kibiashara.
Imekanusha kuzuia taarifa kinyume na sheria.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube