Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Ranieri aongeza mkataba Leicester City

Claudio Ranieri        
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Leicester City wamemuongezea mkataba wa miaka minne kocha wao Claudio Ranieri.
Mkataba huo mpya utamuweka kocha huyo raia wa Italia, mwenye umri wa miaka 64, kwa mabingwa hao mpaka mwezi Juni, mwaka 2020.
Ranieri anaungana na wachezaji Kasper Schmeichel, Wes Morgan na Jamie Vardy waliongeza mikataba ya muda mrefu katika klabu hiyo.
Makamu mwenyekiti wa timu hiyo Aiyawatt Srivaddhanaprabha, amesema kocha huyo yuko katika mpango wa muda mrefu wa timu hiyo kwa kuwa na ujuzi mkubwa na uzoefu.
Katika msimu wake wa kwanza kocha huyo aliwapa ubingwa timu hiyo Ranieri amewahi kuvifundisha vilabu vikubwa kama Chelsea, Juventus, Inter Milan na AS Roma.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube