Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

POGBA asajiliwa tena na Man U

MANCHESTER UNITED imekubali kumsajili tena kiungo wake wa zamani PAUL POGBA, kutoka kwa mabingwa wa ITALIA ,JUVENTUS                                
MANCHESTER UNITED imekubali kumsajili tena  kiungo wake wa zamani PAUL POGBA, kutoka kwa mabingwa wa ITALIA ,JUVENTUS na kuvunja  rekodi ya dunia ya pauni milioni100.

Tayari kiungo huyo ameshapita vipimo vya afya alivyofanyiwa siku ya ALHAMIS usiku jijini LOS ANGELES,MAREKANI. na anatazamiwa kuvaa jezi namba 6,MANCHESTER inategemea kumtangaza muda wowote kuanzia  sasa.

Tangu aondoke united na kujiunga na JUVENTUS mwaka 2012 POGBA kiwango chake kimepanda na kuwa kiungo mbunifu zaidi duniani kwa sasa.

Je  MANCHESTER UNITED inategemea kupata kitu gani kutoka kwa POGBA mwenye umri wa miaka 23?.

Ameifungia JUVENTUS mabao kumi,msimu uliopita,wachezaji wa MAN UNITED walimpita kwa ufungaji ni ANTHONY MARTIAL aliyefunga mabao 17 na weyne rooney aliyefunga mabao 15.

Ametoa pasi 12 za magoli kuliko mchezaji yeyote wa SERIA A,huku mchezaji wa UNITED aliyetoa pasi nyingi za magoli ni ROONEY akiwa amepiga pasi 6 tu.

Ametegeneza nafasi 54 za mabao,wakati kwa united mchezaji aliyetegeneza nafasi nyingi za magoli ni JUAN MATTA.

Amepiga mashuti,124 na kushika nafasi ya tatu katika SERIA A,ambayo ni mashuti 54 zaidi ya mshambuliaji wa UNITED ROONEY ambaye ndiye aliyepiga mashuti mengi zaidi kwa united ,mashuti 70.

Uwezo wake wa kupiga pasi za uhakika ni asilimia  83.4,ambayo haijafikiwa na mchezaji yeyote wa kiungo wa UNITED msimu uliopita.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube