Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

MSONGO WA MAWAZO UNAVYOATHIRI MWILI WAKO, NA NJIA ZA KUWEZA KUPUNGUZA MSONGO WA MAWAZO NA KURUDISHA MWILI KATIKA HALI YA KAWAIDA.

MSONGO WA MAWAZO UNAVYOATHIRI MWILI WAKO, NA NJIA ZA KUWEZA KUPUNGUZA MSONGO WA MAWAZO NA KURUDISHA MWILI KATIKA HALI YA KAWAIDA:;   

 

Moja ya sababu ambazo zinachangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa afya na kusababisha vifo vingi ni msongo wa mawazo .
NAMNA MSONGO WA MAWAZO UNAVOATHIRI MWILI
Pale mwili unavokutana na hali ya tofauti aidha kitu cha kutisha au kinacholeta mawazo ndani ya mda mfupi na tofauti hiyo ikashindwa kutambuliwa haraka na ubongo mfano pale unapokutana na samba au mnyama yeyote mkali usiyemtegemea,  basi mwili hutoa kichocheo kinachoitwa cortisol ambacho kinamwagwa kwenye damu ili kuuandaa mwili aidha kupigana au kukikimbia hcho kitu.
Mapigo ya moyo yanaongezeka, mapafu yanachukua kiwango kikubwa cha hewa, na mzunguko wa damu pia unaongezeka baadhi ya sehemu za kinga yako inazidiwa na mzigo mkubwa kwa mda hivo kutoa nafasi kwa viumbe adui kushambulia mwili wako kirahisi.
Pale msongo wa mawazo unapokuwa mkubwa ndipo kinga yako ya mwili inavozidi kutohisi uwepo wa kichocheo cha cortisol ( yaani kwa lugha rahisi ni kwamba msongo wa mawazo unapunguza kwa kiasi kikubwa makali ya kinga yako ya mwili), kwa sababu kitazalishwa kwa wingi zaidi ili kuandaa mwili kupambana, na hivyo madhara yanyotokana na kutofanya kazi kiusahii kwa kinga ya mwili ndivyo yataongezeka zaidi.
MSONGO WA MAWAZO UNAVOSABABISHA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZA KIKE NA KULETA TATIZO LA POLYCYSTIC OVARY SYNDROME.
Ovary ni mfuko wa mayai ya kike, yaani mahali ambapo mayai ya kike huzalishwa.polycstic ovary syndrome au PCOS kwa kifupi ni ugonjwa unaosababishwa na kuvurugika kwa vichocheo vya kike unaowapata zaidi wanawake walioko katika kipindi cha kuzaa. Wanawake wenye PCOS huwa na ovary zilizotanuka na zenye vimbe za majimaji ndani yake. Hedhi isiyokatika au isiyo na mpangilio maalumu, uotaji wa nywele kwa kasi, Kitambi na nyama uzembe, hizi ni dalili ambazo zinaweza kutokea kwa mwanamke mwenye PCOS. Msongo wa mawazo husababisha mwili kutoa vichocheo kama androstenedione ambacho ni kisababishi cha awali cha tatizo cha kujaa majimaji mifuko ya mayai kwa wanawake.
MSONGO WA MAWAZO KUPITILIZA UNAVOBADILI VICHOCHEO VYA KIUME VILIVYOPO NDANI YA MWANAMKE.
Licha ya msongo wa mawazo kusababisha uzalishaji mkubwa wa vichocheo ndani ya mwili wa mwanamke pia vichocheo hivyo huanza kupambana na hali hiyo ya msongo wa mawazo. Hapa ieleweke kwamba msongo wa mawazo siyo kisababishi pekee cha PCOS , tatizo hilo linaweza pia kusababishwa na ulaji mbaya usiozingatia sheria za lishe bora, kutokufanya mazoezi, matumizi makubwa ya wanga na sukari na pia vyakula vilivyosindikwa na kwa ujumla mtindo mibovu na hatarishi ya kimaisha.
KWANINI MSONGO WA MAWAZO HUSABABISHA UZITO MKUBWA NA KITAMBI
Kuongezeka ovyo kwa uzito,kitambi na nyama uzembe ni tatizo linalohusiana na ,msongo wa mawazo. Msongo wa mawazo unabadili jinsi mafuta yanavohifadhiwa ndani ya mwili kwa sababu ya kubadilika kwa vichocheona kemikali  mbalimbali zinavyozalishwa na mwili pale ambapo unakuwa na stress. Kwa mfano tafiti zinasema kuwa stress kupitiliza husababisha uzalishaji wa protini inayoitwa  betatrophin ambayo ni kizuizi kwa vimeng’enya ambvyo huvunjavunja mafuta yaliyohifadhiwa kwenye mwili.
NAMNA YA KUPUNGUZA ATHARI ZITOKANAZO NA MSONGO WA MAWAZO
Stress ni kitu kisichoepukika kwenye maisha ya kawaida, lakini ni muhimu kufahamu na kuelewa namna ambavyo unashugulika na tatizo hilo ndivyo itakavoamua matokeo yake kiafya aidha mazuri au mabovu. Msongo wa mawazo huisha pale tu kisababishi au hatari inapopita na kutoweka.
Kuna njia nyingi ambazo unaweza kutumia ili kupunguza msongo wa mawazo. Hvyo ni jukum lako kuangalia njia gani inafiti kwako na uweze kuikazania.
Moja ya njia hizo ni kuhakikisha unapata usingizi wa kutosha na kupumzisha mwili, mwili unapokosa usingizi wa kutosha basi unapunguza uwezo wa kukabiliana na msongo wa mawazo na hivyo kuongeza hatari ya kuugua  magonjwa ya moyo . njia zingine unazoweza kutumia ni hizi hapa
1.       kushugulisha mwili mara kwa mara
2.       kufanya mazoezi mepesi ya mwili
3.       kubadilishana mawazo na watu wanaokuzunguka
4.       tenga mda kufanya vitu vinavyokupa furaha
5.       kusikiliza musiki na kufurahi.
HITIMISHO
Mpenzi msomaji kama tayari umeshaathirika kutokana na msongo wa mawazo basi tumeweza kutengeneza kirutubisho kinachoitwa Melatonin chenye vidonge 60 vilivyotengenezwa kiasilia kabisa ambacho kitakusaidia mambo haya
1.       kuongeza kinga ya mwili na kusaidia kurudisha mwili katika hali ya kawaida
2.       kupunguza athari za msongo wa mawazo na pia kuongeza usingizi kiafya
3.       kuondoa sumu mwilini zinazozalishwa kutokana na msongo wa mawazo, kuzua saratani na magonjwa ya moyo
4.       kuongeza ufanisi kwenye tendo la ndoa
kama una maoni ama ushauri na unahitaji tiba basi usisite kutuandikia kwa msg/whatsapp 0758157247.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube