Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

MMAREKANI mmoja ahukumiwa miaka 25 jela kwa kudhalilisha watoto

Raia mmoja wa MAREKANI amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwadhalilisha kijinsia watoto                                       
Raia mmoja wa MAREKANI amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela baada ya kupatikana na hatia ya kuwadhalilisha kijinsia watoto wanane yatima wanaotunzwa kwenye kituo cha watoto yatima nchini MALAWI.
Gazeti la Nyasa Times limesema GERALD CAMPBELL,  amekiri katika mahakama ya TEXAS , MAREKANI kujihusisha na vitendo hivyo vya udhalilishaji kwa watoto  hao wadogo wakati wakiwa chini ya uangalizi wake katika kituo hicho kati ya mwaka 1997 na 2009.
Kwa mujibu wa CAMPBELL, aliwaruhusu watoto  kuingia nyumbani kwake kutumia maji ya moto na vifaa vingine, kisha kuwafanyia udhalilishaji huo.
CAMPBELL baada ya kumaliza kifungo chake atakuwa chini ya uangalizi kwa kipindi chote cha maisha yake ambapo pia atatakiwa kulipa fidia ya dola Elfu-40 za kimarekani kwa kosa alilolifanya
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube