Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Mil 48 zachangwa kwaajili ya ujenzi wa chekechea

Shilingi Milioni 48 zimechangwa kwa ajili ya ujenzi wa shule ya chekechea ya kisasa na uzio wa kanisa katoliki Parokia ya watakatifu PETRO na PAULO                                       
Shilingi Milioni 48 zimechangwa kwa ajili ya ujenzi wa shule ya chekechea ya kisasa na uzio wa kanisa katoliki Parokia ya watakatifu PETRO na PAULO Mitume SHANGANI Magharibi manispaa ya MTWARA, MIKINDANI.
Fedha hizo na vifaa mbalimbali vya ujenzi zimechangwa wakati wa harambee ya kuchangia ujenzi wa shule  mjini  MTWARA.
Akizungumza katika harambee hiyo Mkuu wa mkoa huo HALIMA DENDEGO amewataka wazazi na walezi kuwapeleka shuleni watoto waliofikisha umri wa kuanza shule.
Mapema mwenyekiti wa parokia hiyo OPORTUNA KOMBA na Kaimu Askofu wa jimbo la MTWARA Padri PATRIC MWAYA wamesema shule hiyo inalenga kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu na wenye ulemavu.
Ujenzi wa shule hiyo ya chekechea ya kisasa pamoja na uzio wa kanisa utagharimu  Shilingi Milioni 600 .
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube