Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Linah kaitaja kashfa ambayo hatoisahau maishani mwake….

                   
Ni headlines za msanii Linah Sanga ambae leo August 9, 2016 amefunguka na kutaja kashfa ambayo hatoweza kuisahau maisha mwake.
Msanii huyo kuyaongea haya>>>’Kashfa ambayo iliwahi kuniumiza na sitoisahau ni ile niliyoambiwa nimebakwa wakati si Lina mimi bali ni Lina mwingine’-
Kiukweli ile habari jinsi ilivyokuwa inaandikwa kwenye mitandao mbalimbali iliweza kuenea sana hadi nilipigiwa simu na wazazi wangu pamoja na watu wangu wa karibu kiukweli nilikosa raha, ni mwaka 2013 baadae nilivyokuja kubaini nikakuta si kweli bali ni mtu mwingine ambae tunafanana majina’- Lina
Msikilize zaidi Lina kwa kubonyeza play hapa chini
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube