Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Artificial Intelligence(AI), Gas Economy New Tanzania Priorities in 2024/25

Kocha wa ARGENTINA kumshawishi MESSI kubadili maamuzi

Kocha mpya wa timu ya TAITFA ya ARGENTINA, Edgardo Bauza amesema anataka kumshawishi nahodha wa zamani wa timu hiyo Lionel Messi akubali kubadili mawazo yake na kurejea kuchezea tena timu hiyo.                        
MESSI alichukua uamuzi wa kustafu kuichezea timu hiyo mwezi JUNE  mwaka huu baada ya kukosa mkwaju wa penati na kupoteza kwa mara ya tatu mchezo wa fainali dhidi ya CHILE kwenye michuano ya COPA AMERICA.
BAUZA alichukua nafasi ya Gerardo Martino aliejiuzuri amesema malengo yake kwa sasa ni kutaka kuongea mambo ya soka na MESSI hivyo njia hiyo itasaidia kumshawishi kurejea kuichezea timu ya TAIFA.
Kocha huyo ameongeza kwa kusema pili atamueleza mipango yake na atamsikiliza MESSI anataka nini na hapo atamueleza umuhimu wake kwenye timu ya TAIFA hivyo anahakika atakubali ombi lake.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube