- Get link
- Other Apps
- Get link
- Other Apps
MESSI alichukua uamuzi wa kustafu kuichezea timu hiyo mwezi
JUNE mwaka huu baada ya kukosa mkwaju wa penati na kupoteza kwa mara ya
tatu mchezo wa fainali dhidi ya CHILE kwenye michuano ya COPA AMERICA.
BAUZA alichukua nafasi ya Gerardo Martino aliejiuzuri amesema malengo yake kwa sasa ni kutaka kuongea mambo ya soka na MESSI hivyo njia hiyo itasaidia kumshawishi kurejea kuichezea timu ya TAIFA.
Kocha huyo ameongeza kwa kusema pili atamueleza mipango yake na atamsikiliza MESSI anataka nini na hapo atamueleza umuhimu wake kwenye timu ya TAIFA hivyo anahakika atakubali ombi lake.
BAUZA alichukua nafasi ya Gerardo Martino aliejiuzuri amesema malengo yake kwa sasa ni kutaka kuongea mambo ya soka na MESSI hivyo njia hiyo itasaidia kumshawishi kurejea kuichezea timu ya TAIFA.
Kocha huyo ameongeza kwa kusema pili atamueleza mipango yake na atamsikiliza MESSI anataka nini na hapo atamueleza umuhimu wake kwenye timu ya TAIFA hivyo anahakika atakubali ombi lake.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!
Comments
Post a Comment
Welcome.......
What are you thinking of....!!