Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

KINGUNGE ashauri marais na mawaziri wakuu wastaafu nchini wakutane

KINGUNGE ashauri marais na mawaziri wakuu wastaafu nchini wakutane:;        

Mwanasiasa mkongwe nchini KINGUNGE NGOMBALE MWIRU amewashauri marais na Mawaziri wakuu wastaafu nchini kuingilia kati mvutano                                 
Mwanasiasa mkongwe nchini KINGUNGE NGOMBALE MWIRU amewashauri marais na Mawaziri wakuu wastaafu nchini kuingilia kati mvutano kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo -CHADEMA na serikali wa kutaka kufanya mandamano na mikutano nchi  nzima bila kibali cha kufanya hivyo.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jijini DSM KINGUNGE  amesema viongozi hao wana nafasi kubwa ya kutafuta suluhu ya mgogoro huo.
Tayari viongozi mbalimbali wa dini na serikali wameshauri kuwepo kwa maridhiano kati ya serikali na CHADEMA.
Hapo jana Msajili wa Vyama vya siasa nchini jaji FRANCIS MUTUNGI alitangaza kuwepo kwa kikao tarehe 26 mwezi huu na kisha Baraza la Vyama vya Siasa nchini tarehe 29 na 30 mwezi huu kwa lengo la kujadili hali ya kisiasa nchini
CHADEMA imepanga kufanya mikutano na maandamano nchi nzima Septemba Mosi mwaka huu.
Katika hatua nyingine Jeshi la Polisi mkoani MBEYA limewahakikishia wananchi wa mkoa huo amani na utulivu katika kipindi cha kuelekea maandamano yaliyoandaliwa na vyama vya siasa Septemba Mosi mwaka huu.
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Mbeya BUTUSYO MWAMBELO, ametoa kauli hiyo baada ya kuhitimisha mazoezi ya kawaida ya Jeshi hilo ambayo yamefanyika kuzunguka viunga mbalimbali vya Miji ya Mbeya na Mbalizi.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube