Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

.Burudani Mzee Majuto kaumizwa na hiki kuhusu majumba ya cinema Tanga

          
Mzee Majuto ni mchekeshaji wa longtime kwenye sanaa ya filamu Tanzania sasa leo August 10, 2016 amekubali kukaa  na kueleza vitu ambavyo hakupendezwa navyo kupitia mkoa wake kuhusu majumba ya Cinema.
Staa huyo mkongwe wa filamu aliipata heshima millardayo.com & Ayo TV kayaongea haya>>>>Kilio changu mimi kule kwetu kuna Magic Cinema ambayo sasa hivi imegeuzwa kuwa Kanisa, halafu kuna Tanga Cinema wanauza Majani ya Chai yaani karibia zote
Kumeingiliwa hakuna kabisa majumba ya cinema, hii inatoka kwasababu watu wamezichoka zile movie za nchi za nje kwahiyo huu ndio muda wa kurudisha filamu zetu za nyumbani’– Mzee Majuto
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube