Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Wanamuziki wa dansi wahimizwa kupiga nyimbo za kuhimiza kufanya kazi

Mkuu wa mkoa wa Dsm PAUL MAKONDA amewataka wanamziki wa dansi kote nchini, kupiga nyimbo zitakazohimiza wananchi kufanya kazi za uzalishaji mali badala ya kuendelea kupiga nyimbo zinazohimiza mapenzi katika ujamii                                         
Wanamuziki hao wa dansi wametembelea ofisi ya mkuu wa mkoa wa DSM,PAUL MAKONDA,kwa lengo la kutangaza nia yao ya kuchangia madawati kupitia tamasha lao litakalofanyika katika viwanja vya LEANDERS jijini DSM siku ya JUMAMOSI.

Mkuu wa Mkoa wa DSM PAUL MAKONDA anawataka wanamziki hao,kupinga nyimbo za kuhimiza watu kufanya kazi kwa  ili wajiletee  maaendeleo.
 Fedha zitakazopatikana katika tamasha hilo zitatumika kwa ajili ya kununulia madawati kwa ajili ya shule za msingi jijini DSM
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube