Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Ronaldo ataondoka Madrid? kaweka wazi mazungumzo yake ya simu na Perez

                                  
Nahodha wa timu ya taifa ya Ureno aliyeiongoza timu hiyo kutwaa Kombe la Euro 2016 katika historia Cristiano Ronaldo bado anaendelea na likizo yake na kuendelea kuuguza jeraha lake la goti, Ronaldo ambaye amewahi kuhusishwa kutaka kuihama Real Madrid ameweka wazi mpango wake na Real Madrid.
Ronaldo mkataba wake na Real Madrid unamalizika 2018 na miaka miwili iliyopita alikuwa anahusishwa kutaka kuihama klabu hiyo na kutimkia katika vilabu vya PSGMan United au kwenda kucheza Ligi ya Marekani MLS, Ronaldo ameweka wazi  walichozungumza kwenye simu na Rais wa Real Madrid Florentino Perez.                                         tumblr_naza33zF2Z1rypay0o2_1280              Nimezungumza na Rais kwenye simu lakini wakati nitakapo rudi Madrid tutaongea zaidi kuhusiana na mkataba, kuongeza mkataba ni kitu ambacho nahitaji na nimekuwa nikisema hili mara nyingi na klabu wanahitaji hivyo pia, tuliongea kwa kifupi ila kila kitu kitakuwa sawa nikirudi”
Staa huyo wa kimataifa wa Ureno kwa sasa ana umri wa miaka 31 hadi atakapomaliza mkataba wake Real Madrid 2018, atakuwa na umri wa miaka 33 hivyo wengi walikuwa wanajua kuwa msimu wa 2016/2017 huenda ukawa wa mwisho kwa staa huyo kuendelea kusalia Santiago Bernabeu kwa maana atauzwa.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube