Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

NIMR yahimiza tafiti za magonjwa sugu yanayosumbua jamii

Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya binadamu –NIMR- DKT. MWELE MALECELA amesema endapo tafiti za tiba zinazofanywa                                          
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa  Magonjwa ya binadamu –NIMR- DKT. MWELE MALECELA amesema endapo tafiti za tiba zinazofanywa zitalenga katika ugunduzi wa magonjwa sugu yanayoisumbua jamii zitakuwa na manufaa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini DAR ES SALAAM amesema matokeo ya tafiti hizo yanaweza kugundua tiba sahihi ya magonjwa yanayoisumbua jamii.

Aidha amesema Mkurugenzi wa taasisi ya Afya ya MAREKANI DKT, FRANSIS COLLINS anatarajiwa kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia Julai 31 mwaka huu  kwa lengo la kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na nchi hiyo.

Kwa upande wao MKURUGENZI wa Makamu Mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Afya Profesa EPHATA KAAYA na Mtafiti kiongozi wa afya wa Tume ya sayansi na teknolojia DKT. KHADIJA MALIMA wamesema ushirikiano wa kitafiti kati ya TANZANIA na MAREKANI umekuwa na manufaa.

Hata hivyo wamesema kuna haja kwa sasa kubadili mbinu za tafiti kwa lengo la kuboresha mazingira ya utendaji wake
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube