Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Jibu la Wema Sepetu baada ya kuulizwa kuhusu taarifa za kupigana na Kajala (+audio)

             Kwa zaidi ya siku nne ni stori ambayo ime-trend kwenye magazeti, habari za burudani kwenye Radio na hata kwenye mitandao mbalimbali.. ni ishu ya Waigizaji wawili waliokua marafiki lakini sasa hawaelewani.                 Iliripotiwa na mitandao mbalimbali kwamba wawili hawa walipigana walipokutana kwenye kiwanja cha starehe        Wema Sepetu alipatikana lakini akatoa maneno machache tu baada ya kuulizwa ni kweli ugomvi wake na Kajala ulifikia mpaka kupigana na kurushiana chupa wakiwa kwenye kiwanja cha starehe usiku, Wema akajibu >>> ‘Hapana bwana, hakuna kitu kama hicho, hamna kitu kama hicho… mimi sio drama Queen, siko kwenye level hiyo
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube