Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Dkt. KIKWETE awaasa wana CCM kuwa kitu kimoja

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi – CCM Taifa anayemaliza muda wake Dakta JAKAYA KIKWETE amewataka wanachama wa chama hicho kuwa kitu kimoja                       
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi – CCM Taifa anayemaliza muda wake Dakta JAKAYA KIKWETE amewataka wanachama wa chama hicho kuwa kitu kimoja ili kuepusha chama hicho kuyumbishwa na watu wasioitakia mema CCM.

Pamoja na kusisitiza suala la umoja,  Dakta KIKWETE amewashukuru viongozi wa CCM waliotangulia na kumtaka Mwenyekiti mpya wa chama hicho Rais dakta JOHN MAGUFULI kuwa kiongozi bora wakati wote wa uongozi wake.

Akizungumza na wajumbe wa mkutano mkuu,aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Dkt. JAKAYA KIKWETE amesema ana imani kubwa na Rais Dakta. MAGUFULI kwa kazi nzuri anayoifanya kwa kutekeleza Ilani ya CCM na kumsihi kuunda timu imara itakayomsaidia kutekeleza majukumu yake.

Mwenyekiti mpya wa CCM Dkt. JOHN  MAGUFULI anakuwa mwenyekiti wa TANO akitanguliwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu JULIUS KAMBARAGE NYERERE, Mzee ALI HASSAN MWINYI , Mzee BENJAMIN MKAPA na Dkt. JAKAYA KIKWETE.
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube