Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment and dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!! Welcome to VIVAX MEDIA, feel free to Comment., dont forget to Share (also please Click on the YOUTUBE, YOUTUBE, YOUTUBE button above/bellow the page).....!!

Beef: 50 Cent na Rick Ross wafufua beef yenye miaka zaidi ya mitano kwenye mitandao ya kijamii!

       Wasanii wa muziiki wa HipHop Marekani, 50 Cent na Rick Ross wanaziandika headlines baada ya wawili hao kufufua beef ya mwaka 2009 kati yao kwenye social media… ugomvi ulianza siku ya ijumaa baada ya 50 Cent kupost picha kwenye Instagram T-shirt ya kumkejeli Rick Ross na maneno yaliyosema ” Lmao ???? sina cha kufanya kwa hiyo nimeamua kuuza hizi Tshirt kwa $2.95″.    
ROSSAY50                                                 Baada ya dakika kadhaa 50 alifuta post hiyo lakini Rick Ross alikuwa ameshakutana nayo, Rozay akaamua kumjibu 50 kupitia page yake ya Twitter, akaandika tweet ya kumshambulia 50 Cent iliyosema; “Forced into #BANKRUPTCY now the Donkey @50cent WORKING 4 #MMG Merch co. selling T’s for 2.95 on the #BLACKMARKET haaa!”        
ROSSAY502                                                Majibizano yao kupita Instagram na Twitter hayakuishia hapo, 50 Cent alirudi tena kwenye Instagram na kuendelea kumshambulia Boss wa Maybach Music Group, Rick Ross kwa kupost picha ya kitambo sana ya Rozay kipindi hicho akiwa Askari Magereza na kumtania kuhusu engagement yake kwa mchumba wake Lisa Galore mwenye miaka 22… kwenye post hiyo 50 aliandika;          >>>” Ok hii movie ni kali ???? askari magereza anayerap kama mvuta bangi mpaka anajiamini kuwa ni hivyo, kisha anajishaua sana alafu mauzo yake kimuziki sio kitu kikubwa na badaae anaamua kumchumbia stripper wa miaka 22 ambaye kwa asilimia kubwa crew yake nzima imeshampitia…LMAO ☕️???? subiri kwanza, ningependa kununua hakimiliki juu ya hii movie”. <<< @50cent.                    
ROSSAY503                                                        50 Cent hakuishia hapo akaamua apost tena picha nyingine ya Ricky Rozay, lakini hii ililenga ile beef kati ya msanii wake Meek Mill na msanii kutoka Cash Money Records, Drake… huku caption yake ikisema;
Share And Comment Bellow On What You Think About This Post!!!

Comments

Facebook Twitter Youtube